Posted by : FURAHA MEDIA
Saturday, May 28, 2016
Image copyrightAFP
Vilabu vya Real Madrid na Atletico Madrid vinakabiliana Jumamosi katika fainali ya kombe la vilabu bingwa Ulaya.
Image copyrightAFP
Huku timu zote mbili zikishindwa kuizuia Barcelona kushinda kombe la liga,bila tatizo ni timu mbili bora Ulaya na mechi hiyo inatarajiwa kuwa ya kukata na shoka.
Image copyrightAFP
Hatahivyo,lakini ni wachezaji gani waliomo katika vikosi vya timu zote mbili.
Image copyrightAP
Huku Christiano,Gareth Bale ,Koke na Antoine Griezman wakishiriki huenda mechi hiyo ikatoa msisimuko wa kiwango cha juu.